BUNGE LATOA MSAMAHA NA ONYO KALI KWA MAKONDA NA WENZIE
Leo Bunge la jamhuri wa Muungano limetoa misaa kwa wabunge wake pamoja na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda na Mkuu wa wilaya ya Arumeru. Kupitia ukurasa wa Twitter rasmi wa bunge umechpisha habari hizo za misamaha hiyo ikiwa pamoja na kuwapa onyo kali la kutorudia makosa yao waliyoyafanya. Tizama hapo chini tweets za misahama hiyo:
#TaarifayaKamatiyaMaadili Bunge limetoa karipio kali kwa Mhe Bulaya, baada ya kukiri kosa la kudharau Mamlaka ya Bunge pic.twitter.com/8X3gMJ6pab— Tanzania Parliament (@bunge_tz) May 2, 2017
#TaarifayaKamatiyaMaadili Bunge limeazimia kumsamehe Mhe Mbowe baada ya kukiri kosa la kutoa kauli za kudharau Bunge pic.twitter.com/ivwqbTqT2p— Tanzania Parliament (@bunge_tz) May 2, 2017
Baada ya majadiliano Bunge limeazimia kuwa Mhe Mdee asamehewe kwa masharti kwamba akirudia kosa anadhibiwa bila kupelekwa Kamati ya Maadili— Tanzania Parliament (@bunge_tz) May 2, 2017
Bunge limeazimia kumsamehe Mkuu wa Mkoa wa Dar na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kutokana na kukiri makosa yao na kuomba msamaha. pic.twitter.com/RUvlsQv0ym— Tanzania Parliament (@bunge_tz) May 2, 2017
Tangaza Nasi kupitia Dawatihurutz.blogspot.com
Post a Comment