Header Ads

test

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KARATU



Wanafunzi 29 , walimu 2 na dereva wa gari la shule ya msingi iitwayo Lucky Vicent ya Arusha wamefariki dunia leo saa 3 asubuhi baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha.

Wanafunzi na walimu hao walikuwa wakitoka shuleni kwao kwenda shule ya msingi iitwayo Tumaini kwa ajili ya kufanya mtihani wa ujirani mwema na walipofika katika eneo la Rhotia Marera basi walilopanda liliacha njia na kisha kutumbukia korongoni ambako limesababisha vifo hivyo na majeruhi watatu.

Hapa chini ni majina ya wanafunzi waliofariki katika ajali hiyo



Tangaza Nasi kupitia Dawatihurutz.blogspot.com

No comments