Silvio Berlusconi aiuza AC Milan kwa wawekezaji wa china.
Wawekezaji wa Kampuni ya China Rossoneri Sport Investment Lux imemaliza
£ 628m (740m euro) ununuzi wa club ya AC
Milan toka waziri mkuu wa zamani wa Italia Silvio Berlusconi ambaye alikuwa
anamiliki Club hiyo ya Seria A tangu 1986.
Katika wakati huo AC Milan walishinda
mataji nane na makombe matano ya Ulaya.
Hata hivyo, Milan haijashinda Serie A tangu
2011 na kumaliza saba, 10 na nane katika misimu mitatu iliyopita.
Wao kwa sasa wako nafasi ya sita katika ligi, pointi 20
nyuma ya viongozi Juventus.
AC Milan imeshinda mataji 29 wakati wa uongozi wa Berlusconi
Tangaza Nasi kupitia [dawatihurutz.blogspot.com]
|
Post a Comment