Header Ads

test

Silvio Berlusconi aiuza AC Milan kwa wawekezaji wa china.


Wawekezaji wa Kampuni ya  China Rossoneri Sport Investment Lux imemaliza £ 628m (740m euro) ununuzi wa club ya  AC Milan toka waziri mkuu wa zamani wa Italia Silvio Berlusconi ambaye alikuwa anamiliki Club hiyo ya Seria A tangu 1986.

Katika wakati huo AC Milan walishinda mataji nane na makombe matano ya Ulaya.

Hata hivyo, Milan haijashinda Serie A tangu 2011 na kumaliza saba, 10 na nane katika misimu mitatu iliyopita.

Wao kwa sasa wako nafasi ya sita katika ligi, pointi 20 nyuma ya viongozi Juventus.

AC Milan imeshinda mataji 29 wakati wa uongozi wa Berlusconi



Tangaza Nasi kupitia [dawatihurutz.blogspot.com]


No comments