WATU WASIOFAHAMIKA WAVAMIA MKUTANO WA CUF YA MAALIM SEIF
Watu nane wasiofahamika wamevamia mkutano wa wanachama wa CUF upande unaomuunga mkono, Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad.
Mtu mmoja miongoni mwa waliovamia mkutano wa wanachama wa CUF ameshambuliwa na wananchi wakati akijaribu kutoroka.
Mmoja wa watuhumiwa wa uvamivi akiwa anapambana na wananchi |
Mmoja wa watuhumiwa wa uvamivi akiwa kadhibitiwa baada ya kukatwa mguu na wananchi |
Tangaza Nasi
kupitia Dawatihurutz.blogspot.com
Post a Comment